Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Origi atua Italia kumalizana na AC Milan

Jumanne , 28th Jun , 2022

Mshambuliaji wa zamani wa klabu Liverpool Divock Origi yuko nchini Italia tayari kwa ajili ya kufanya vipomo vya afya kabla ya kujiunga rasmi na klabu ya AC Milan kwa uhamisho huru.

Divock Origi

Hapo awali Ilitangazwa kuwa Origi ataondoka Liverpool mara tu mkataba wake utakapo malizika mwishoni mwa msimu uliokwisha.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 alifunga mabao muhimu kwa klabu hiyo yenye maskani yake kwenye viunga vya  Anfield, ikiwa ni pamoja na katika ushindi wao wa 2-0 dhidi ya Tottenham katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya mwaka 2019.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ubelgiji alijiunga na Liverpool msimu wa mwaka 2014 na kufanikiwa kufunga mabao 41 katika michezo 175 aliyocheza klabuni hapo.

Klabu ya AC Milan wamekuwa mabingwa wa ligi kuu ya Italia serie A kwa mara ya kwanza katika kipindi cha zaidi ya muongo mmoja uliopita, baada ya kuwazidi wapinzani wao Inter Milan kwa tofauti ya alama mbili.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya