Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Omanyala ashinda dhahabu Jumuiya ya Madola

Alhamisi , 4th Aug , 2022

Mwanariadha wa Kenya wa mbio fupi za mita mia moja Ferdinand Omanyala ameushangaza ulimwengu baada ya kuibuka mshindi na kutwaa medali ya dhahabu katika michezo ya nchi za Jumuiya ya Madola inayoendelea mjini Birmingham nchini Uingereza.

Ferdinand Omanyala mwanariadha wa Kenya- mbio fupi za mita mia moja.

Omanyala alimaliza mbio hizo kwa kumia muda wa sekunde kumi na nukta mbili na kuipatia Kenya medali ya kwanza ya dhahabu katika michuano hiyo baada ya kumshinda bingwa mtetezi wa mbio hizo Akani Simbine kutoka Afrika Kusini aliyemaliza katika nafasi ya pili.

(Bondia wa Tanzania Yusuf Changalawe (kulia) akinyanyuliwa mkono juu baada ya kushinda pambano)

Upande mwingine Tanzania imejihakikishia medali ya pili kwenye michuano hiyo baada ya bondia Yusuf Changalawe kumchapa kwa knockout bondia Arthur Langlier wa St. Lucia na kutinga nusu fainali kwenye mchezo wa ngumi za ridhaa za uzani wa juu wa kati (light heavyweight).

Kwa maana hiyo hata kama Changalawe atapoteza pambano la nusu fainali, bado atatunukiwa medali shaba kwa mujibu na kanuni za ngumi za ridhaa, kwani kanuni zao zinawatambua mabondia walioshindwa kwenye nusu fainali kuwa ni washindi watatu, huku wale walioshinda wataingia fainali ili kupata bingwa na mshindi wa pili.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita