![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/news/2023/10/06/WhatsApp Image 2023-10-06 at 06.16.29.jpeg?itok=m0UTgZss×tamp=1696569448)
Mashindano hayo pia yatakuwa na ongezeko la timu nane kwa upande wa wanawake na wanaume zilizotinga hatua ya nusu fainali mwaka 2022 ambazo ni Pazi ambao ndio mabingwa watetezi wa nchi, ABC, Kisasa na Wakuda wakati kwa timu za wanawake ni VBQ ambao ndio abingwa watetezi wa nchi, Jkt Stars, Db Pantellin na Bandari Queens.