Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msuva amlilia Niyonzima

Alhamisi , 22nd Jun , 2017

Mshambuliaji wa Yanga SC Simon Msuva amesema japo kiungo Haruna Niyonzima ameacha pengo ndani ya timu, wachezaji waliobaki wataendelea kuipigana kwa juhudi ili kuziba huku mashabiki wakiamini hakuna pengo linaloonekana.

Simon Msuva na Haruna Niyonzima

Msuva amesema, kuondoka kwa Haruna kumemuachia pengo kubwa ndani ya Yanga kutokana na ushirikiano waliokuwa nao ndani na nje ya Timu lakini atajitahidi kuendeleza ushirikiano na wachezaji waliobakia ili kuhakikisha timu inaendelea kufanya vizuri.

“Katika timu lazima kuwe na mazoea, mimi Haruna nilimzoea kupitiliza na hii habari kuwa amesaini Simba SC mimi sifahamu lakini kwaupande wangu kama amesaini kweli mimi nimeumia lakini ni maisha yake yeye na familia yake lakini mimi kwa upande wangu nitajitahidi kwa sababu kuna watu wengine nipo nao pale kama wa kina Kamusoko wapo wengi tu, kwahiyo nitashirikiana nao kama nilivyoshirikiana na Haruna lakini kwaupande wangu imeniuma, ” amesema Msuva.

Msuva amesema, atamkumbuka Haruna hususani ndani ya uwanja kwani walishirikiana kwa kiasi kikubwa kuhakikisha wanaipa timu ubingwa misimu mitatu mfululizo.

“Haruna nitakumbuka vitu vingikutoka kwake kwani licha ya Uwanjani pia ni mtani wangu na hata yeye huko alipo anajua kabisa ameniacha mchezaji mwenzake sina raha kwani tumekuwa na ushirikiano mkubwa ndani ya timu hususani katika suala la ushauri, ni mchezaji wa kimataifa ambaye na mkubali katika soka, ” Msuva aliongeza.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita