Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mpango wa JKT mbele ya Simba SC

Jumatatu , 1st Mar , 2021

Ligi Kuu soka Tanzania bara itaendelea leo kwa mchezo mmoja ukiwa ni mzunguko wa 22 katika uwanja wa Benjamini Mkapa, mabingwa watetezi Simba SC watakuwa wenyeji wa JKT Tanzania ya Dodoma mchezo utapigwa majira ya Saa 1:00 usiku.

Ligi Kuu leo Simba Vs JKT Tanznaia

Simba wanaingia kwenye mchezo wa usiku wa leo wakiwa wanawazidi JKT Tanzania kwa tofauti ya alama 18, mabingwa hao watetezi wa VPL wekundu wa msimbazi ambao hawajapoteza mchezo hata mmoja kwenye michezo 5 ya mwisho ya Ligi kuu wakiwa wameshinda michezo 4 na sare mchezo 1, wapo nafasi ya pili wakiwa na alama 42, kwenye michezo 18.

JKT wamekusanya alama 24 kwenye michezi 21 wakiwa wanamiliki nafasi ya 10 kwenye msimamo, wameshinda michezo 3 kwenye michezo 5 ya mwisho ya ligi wamefungwa mchezo mmoja na wametoka sare mchezo mmoja.

Mchezo wa mkondo wa kwanza timu hizi zilipokutana mchezo ambao ulichezwa jijini Dodoma katika Dimba la Jamhuri Simba iliibuka na ushindi wa mabao 4-0, mabao ya Simba yalifungwa na Meddie Kagere ambaye alifunga mara mbili, mabao mengine yalifungwa na Chris Mugalu na Luiz Miquissone.

Kwenye michezo 5 ya mwisho timu hizi kukutana Simba wamekuwa na rekodi bora mbela ya JKT Tanzania kwani wameshinda michezo 4 na wamefungwa mchezo mmoja tu.

 

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya