
Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA), Bw. Paul Rwegasha (kulia) akizungumza na waandishi wa habari juu ya udhibiti wa magonjwa ya mlipuko kwenye kiwanja hicho. Hivi karibuni ugonjwa wa Ebola umetangazwa kutokea nchini Kongo.
26 Aug . 2018

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega akizungumza na wafanyabiashara wa soko la samaki la kimataifa la Kirumba jijini Mwanza.
26 Aug . 2018

Wachezaji wa Mchenga Bball Stars wakishangilia ubingwa wao
26 Aug . 2018

Wafuasi wa CHADEMA kushoto na kulia ni bendera ya ACT Wazalendo.
26 Aug . 2018

Kikosi cha Yanga kilichocheza dhidi ya Mtibwa Sugar Alhamis Agosti 24, 2018.
26 Aug . 2018

Wachezaji wa Mchenga Bball Stars wakiwa na zawadi zao baada ya kukabidhiwa.
25 Aug . 2018