
Picha na Mchezaji Lionel Messi
Rafiki yake Neymar anafuatia kwa mshahara wa Euro Milioni 30 ambazo ni sawa na Tsh. Bilioni 81.3 kwa mwaka huku mfaransa Kylian Mbappé akilamba Euro Milioni 24 amabzo ni sawa na Bilioni 65.1 kwa mwaka.
Messi ataitumikia PSG mpaka 2023 akiwa klabuni hapo na rafiki yake Neymar ambaye ameungana nae tena baada ya kucheza pamoja huko Barca.