Mwinyi Zahera
Zahera amesema hayo alipokuwa akiongelea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Zesco United ya Zambia, utakaopigwa Jumamosi Septemba 14, kwenye uwanja wa taifa.
Kauli hiyo ya Zahera imekuja baada ya mashabiki kuonekana kutoridhishwa na kiwango cha mshambuliaji huyo, aliyesajiliwa msimu huu akitokea DR Congo.
Zaidi tazama Video hapo chini.

