Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Inter Milan bingwa mpya Italian Super Cup

Alhamisi , 13th Jan , 2022

Klabu ya Inter Milan imefanikiwa kuwa Mabingwa wa Italian Super Cup kwa mwaka 2022 baada ya usiku wa kuamkia leo kuwafunga wapinzani wao Juventus mabao 2-1 kwenye mchezo wa fainali uliochezwa Guisseppe Di Meazza, Italia.

(Wachezaji wa Inter Milan wakisheherekea Ubingwa wa Italian Super Cup)

Wawili hao walikutana kwenye mchezo huo baada ya Inter Milan kuibuka kuwa bingwa wa Serie A mwaka 2020-21 na Juventus kubeba kombe la Coppa Italia msimu huo.

Juventus ndiyo walikuwa wa kwanza kufunga bao kupitia kiungo wake Weston McKennie aliyefunga bao dakika 25 kabla ya Lautaro Martinez kuwasawazishia Inter dakika 35 ya mchezo na kulazimisha mchezo huo kuongezewa dakika 30.

Shujaa wa mchezo huo, aliibuka kuwa Alexis Sanchez aliyefunga bao kwenye dakika za nyongeza 120+1’ muda mchache sana kabla ya kuelekea kwenye changamoto ya mikwaju ya penalty kama mchezo huo ungesalia sare ya 1-1.

Ushindi huo umewafanya Inter Milan kuanza mwaka vema na kombe moja kabatini huku kocha wake, Simone Inzaghi akiweka rekodi ya kuwa kocha pekee kuifunga Juventus kwenye fainali nyingi zaidi tokea msimu wa mwaka 1929-30.

Na ushindi huo kwa Inzaghi umepatikana katika fainali tatu za Italian Super Cup, alipokuwa Lazio msimu uliopita na hivi sasa Inter Milan. Pia ni ubingwa huo ni wa 6 kwa Inter utofauti wa makombe 3 na bingwa wa Kihistoria  Juventus.

Alexis Sanchez ameweka rekodi ya kufunga bao la kwenye dakika za lala salama zaidi dakika 120+1’ kwenye Historia ya fainali za Italian Super Cup na kumpiku Gonzalo Higuain aliyefunga dakika 118 dhidi ya Juventus mwaka 2014.

Viita ya wawili hao kuwani amataji inaendelea kwenye Serie A ambapo Inter ni kinara akiwa na alama 49 utofauti wa alama 11 na Juventus aliyepo nafasi ya tano licha ya Inter kuwa nyuma kwa mchezo mmoja.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita