Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

GSM waidhamini Ligi Kuu Bara kwa Bil 2.1

Jumanne , 23rd Nov , 2021

Kampuni ya GSM imeingia mkataba wa miaka miwili na Shirikisho la Soka nchini ‘TFF’ ili kuwa wanadhamini wenza wa Ligi kuu ya NBC Tanzania, mkataba wenye thamani ya shilingi Bilioni mbili na milioni mia moja leo Novemba 23, 2021.

(Makamu wa Kwanza wa Rais TFF, Athuman Nyamlani (Kulia) na Mkurugenzi wa Uwekezaji GSM Group Eng.Hersi Said (kushoto) wakionesha mfano wa Hundi ya mkataba uliosainiwa leo wa Udhamini Mwenza wa Ligi Kuu ya NBC wenye thamani ya shilingi Bilioni 2.1 kwa miaka 2.)

Baada ya kusaini mkabata huo, Mkurugenzi wa Uwekezaji wa Kampuni ya GSM, Eng. Hersi Said amesema hiyo ni juhudi ya moja kwa moja katika kuvisaidia vilabu ili view na ustawi ambao utakuza upinzani na kukuza soka nchini.

Nae, Mwakilishi wa TFF, Makamu wa kwanza wa Rais TFF, Athuman Nyamlani amewashukuru GSM kwa udhamini huo na kusema kwa hakika ni jambo jema kwenye mpira wa Tanzania.

Mdhamini Mkuu wa Ligi kuu anasalia kuwa NBC, Lakini GSM ataendelea kuwa mdhamini mwenza kama ambavyo msimu uliopita walikuwa Azam na Benki ya KBC.

Baada ya malipo ya kodi serikalini na mgao wa asilimia kadhaa kwenye TFFF, asilimia kubwa ya fedha hizo zitagawanywa kwa vilabu ili kuvisaidia kuendesha shughuli zao za kila siku na hatimaye kukuza upinzani wa ligi ya NBC Tanzania.
 

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita