Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Fahamu historia na washindi wa ngao ya jamii

Jumamosi , 18th Aug , 2018

Kuelekea mchezo wa ngao ya jamii kati ya Simba na Mtibwa Sugar katika uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza hii leo, ifuatayo ni historia pamoja na washindi wa kombe hilo tangu kuanzishwa kwake.

Wachezaji wakichuana katika moja ya mchezo kati ya Simba na Mtibwa Sugar

Mchezo wa ngao ya jamii ulianzishwa kwa mara ya kwanza mwaka 2001 kabla ya kuitishwa kwa miaka kadhaa na kurejea tena kuanzia mwaka 2009.

Mchezo wa kwanza uliikutanisha kati ya Simba na Yanga na hatimaye Yanga kuibuka mshinmdi wa kwanza wa kombe hilo kwa kuifunga Simba 2-1, mabao ya Yanga yakifungwa na Edibily Lunyamila na Ally Yussuph ‘Tigana’ huku bao pekee la Simba likifungwa na Steven Mapunda ‘Garincha’.

Tangu kuanzishwa kwa mchezo huo wa ngao ya jamii, Yanga na Simba ndiyo zinaongoza mpaka sasa kwa kushinda mara nyingi kuliko klabu zote, zikiwa zimeshinda mara 5 kila moja huku Mtibwa Sugar na Azam Fc zikiwa zimeshinda mara moja.

Historia ya karibuni kuanzia mwaka 2009 hadi mwaka uliopita, Klabu ya Yanga imeshinda kombe hilo mara nne huku Simba ikishinda mara tatu na Azam Fc pamoja na Mtibwa Sugar zikishinda mara moja.

Simba inaelekea katika mchezo wa leo ikisaka kombe la sita huku Mtibwa Sugar ikisaka kombe la pili katika historia yao . Simba ikiwakilisha kama bingwa wa ligi kuu msimu uliopita huku Mtibwa Sugar ikiwakilisha kama bingwa wa kombe la shirikisho kwa msimu uliopita pia.

HABARI ZAIDI

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita