
Hadi robo ya kwanza na ya pili Dar City ilikuwa mbele kwa vikapu 52 – 22 wakati baada ya robo ya tatu timu hiyo ilikuwa ikiongoza kwa vikapu 60 – 23.
Katika mchezo uliofuata kwa upande wa wanawake, Dar city ilipokea kipigo cha vikapu 79 – 61 kutoka kwa timu ya jiji la Kampala Uganda.