
Mchezaji wa Cameroon - Ngo Mbeleck
Timu hiyo ya Cameroon ina uhakika wa kumaliza angalau katika nafasi ya pili katika kundi A, wakiwa wamesalia na mechi moja, wamepata alama sita kutokana na ushindi wao mara mbili.
Ngo Mbeleck, alifunga bao la pekee kunako katika dakika ya 83 katika mchezo huo uliochezwa mjini Yaounde, Cameroon, Jumanne.