Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bucks waanza vema, LA Lakers yaangukia pua NBA

Jumatano , 20th Oct , 2021

Mabingwa watetezi wa ligi ya Kikapu nchini Marekani ‘NBA’, Milwaukee Bucks imeanza vema kampeni ya kutetea ubingwa wake kwa kuifunga Brooklyn Nets kwa alama 127-104 kwenye mchezo wake wa ufunguzi wa msimu mpya wa NBA 2021-22

(Picha ikionesha matukio mbalimbali kwenye michezo ya ugunguzi ya NBA.)

Kwenye mchezo huo uliochezwa saa 8:30 usiku wa leo Oktoba 20, 2021, Bucks waliendelea kujivunia ubora wa nyota wake Giannis Antetokounmpo aliyekuwa kinara wa mchezo kwa kufikisha alama 32, rebound 14 na Assist 7.

Huo ulikuwa ni mchezo wa kwana kwa Brooklyn Kucheza bila Kyrie Irving ambaye yupo nje ya timu kwasbabu ya kugomea kuchanja chanjo ya Covid-19 wakati Kocha wa Bucks, Budenholzer amthibitisha kuwa Jrue Holiday yupo fiti licha ya kushindwa kumaliza mchezo na kutolewa kwenye Quater ya pili akisumbuliwa na maumivu ya kisigino.

Kwa upande mwingine, Mabingwa mara 17 wa NBA, Wakongwe Los Angeles Lakers wameangukia pua baada ya kufungwa kwa alama 121-114 dhidi ya Golden State Warriros licha ya lakers kuongoza Quarter 3 na kupinduliwa meza mwishoni.

Licha ya kupoteza mchezo huo, Lakini nyota wa Lakers, Lebron James ameibuka kuwa nyota wa mchezo kwa kukusanya alama 34, rebound 11 na Assist 5 ambazo pia hazikutosha kubeba Lakers ibadili matokeo.

Nyota Golden State Warriros, Stephen Curry alionesha kiwango kizuri kwa kukusanya alama 21, rebound 10 na Assist 10 ambazo walishirikiana vema na Bjelica Nemanja alama 15, rebound 11 na Assist 4 ambazo zilichangia ushindi wa Golden.

Kipigo hicho ni cha saba mfululizo kwa Lakers tokea kuanza kwa michezo ya NBA Pre-Season ambapo walicheza michezo 6 na kufungwa yote. Walifungwa mara mbili na Golden State hivyo kipigo cha alfajiri ya leo ni cha tatu mfululizo kwa Lakers.

NBA itaendelea tena usiku wa kuamkia kesho kwa michezo 11, lakini baadhi ya michezo inayosubiriwa kwa hamu ni ule utakaowakutanisha Makamu bingwa, Phoenix Suns dhidi ya Denver Nuggets na Memphis Glizzlies na Cleveland Cavaliers.

 

 

 

 

 

 

 

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita