Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bodi ya Ligi waufungia uwanja wa Ushirika Moshi

Jumamosi , 26th Sep , 2020

Bodi ya Ligi kuu Tanzania (TPLB) imeufungia uwanja wa Ushirika uliopo Moshi mkoani Kilimanjaro kuchezewa mechi zozote za mashindano.

Uwanja wa Ushirika Moshi ni uwanja wa tatu kufungiwa na Bodi ya Ligi msimu huu

Taarifa iliyotolewa na Idara ya Habari na Mawasiliano ya Bodi ya ligi imeelza uwanja huo umefungiwa kutokana na kukosa baadhi ya sifa za kikanunu kama zilivyoainishwa kwenye Kanuni ya Saba inayozungumzia uwanja na sheria namba moja ya mpira wa miguu inayozungumzia uwanja.

kutokana na uamuzi huo wa kuufungia uwanja wa Ushirika, Bodi ya Ligi imeitaka klabu ya Polisi Tanzania kuutumia uwanja wa Sheikh Amri Abeid uliopo Jijini Arusha kwa ajili ya mechi zake za nyumbani za Ligi kuu ya Vodacom 2020-21.

lakini pia Kamati ya Leseni za klabu itaufanyia uchunguzi uwanja huo baada ya marekebisho kukamilika.

Huu unakuwa ni uwanja wa tatu kufungiwa na Bodi ya Ligi msimu huu kwa kukosa sifa za kikanuni, viwanja vingine vilivyofungiwa ni uwanja wa Mabatini uliopo Mlandizi mkoani Pwani ambao ni uwanja wa nyumbani wa Ruvu Shooting na uwanja mwingine ni wa Gwambini Uliopo Misungwi Jijini Mwanza ambao ni uwanja wa nyumbani wa Gwambina FC.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil