
Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji, Elias Mwanjala (Pichani) Katika Ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini zilizopo Karume Jijini Dar es salaam.

Afisa Muhamasishaji na Msemaji wa Klabu ya Yanga, Antonio Nuggaz (Kushoto) akiwa katika Studio za East Africa Radio kuzungumza na Mashabiki wa Simba na Yanga.

Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad.

Aliyekua Rais wa TFF , Jamali Malinzi enzi za utawala wake alipokua akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu masuala mbali mbali ya mpira wa miguu.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Rashid Mfaume akipokea msaada wa vifaa tiba kutoka Jamhuri ya watu wa Korea

Sturridge kwa sasa ni mchezaji huru baada ya kuvunja mkataba na Trabzonspor mwezi machi

Mgombea wa Urais kupitia CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, akikabidhiwa fomu na M/Kiti wa NEC Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage.