Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msanii aeleza alivyoenda kwa mganga

Jumatano , 3rd Jun , 2020

Msanii Natasha Lisimo ambaye zamani alikuwa anafahamika kwa jina la Khadja Nito amesema, alipitia magumu alipoenda kwa mganga na kuambiwa kutekeleza maagizo kwa kupewa hirizi, kuchinja Kuku, Mbuzi na kulala makaburini pamoja na kutupiwa ugonjwa wa UKIMWI.

Msanii wa injili Natasha Lisimo

Akizungumza kwenye kipindi cha MamaMia ya East Africa Radio, kinachoruka kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia 4:00 Asubuhi hadi 6:00 mchana, Natasha Lisimo amesema licha ya kwenda kwa mganga lakini bado aliona mambo yake yanamuendea vibaya.

"Utaenda kwa mganga kama mambo yako hayakai sawa au watu kupoteza interest na wewe, mimi nilivyoenda kwa mganga hakukuwa na matokeo mazuri bali niliona giza zaidi, Mganga aliniambia nimepandikiziwa ugonjwa wa ukimwi nikamwambia akome kwamba sina ugonjwa huo, nia yangu nilivyoenda kwa mganga nilitaka mambo yangu yaonekane nipate kazi au show" ameeleza Natasha Lisimo.

"Nimeshachinja Kuku, Mbuzi na kulala makaburini, waganga waongo sana wanakwambia mtu fulani au msanii anakuibia nyota yako na anakutajia hadi jina kabisa, kuna siku akamhusisha Mama yangu mzazi nili-mind na kuanza kumkaripia hapohapo nikaondoka" ameongeza.

Kwa sasa msanii huyo ameokoka na ameachana na miziki ya kidunia na anaimba nyimbo za Injili.

 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe