Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msuva aitamani Simba SC

Alhamisi , 17th Nov , 2016

Mshambuliaji wa mabingwa wa Ligi Kuu Bara Yanga Saimon Msuva ambaye kwa sasa ameibua minong'ono mingi kwa mashabiki kuwa anaipenda timu ya Simba kuliko ile ya Yanga anayochezea, amenyoosha maelezo kuhusu tuhuma hizo.

Saimon Msuva akiwa KIKAANGONI

 

Akijibu maswali ya mashabiki kupitia kipengele cha KIKAANGONI cha EATV, Msuva amesema yeye siyo shabiki wa Simba kama wengi wanavyodhani, isipokuwa amelelewa kwenye familia yenye ushabiki na mapenzi kwa Simba.

"Mi sio shabiki wa Simba kwanza mjue hilo, lakini nimekulia kwenye mazingira ambayo baba yangu mwenyewe kwanza ni shabiki mkubwa wa Simba, nachezea Yanga na nina mkataba na Yanga, hivyo niko Yanga, hayo mengine hayana ukweli wowote", alisema Msuva.

Msuva aliendelea kwa kusema kuwa yeye kama mchezaji anatamani kuichezea timu hiyo kwani Simba ni timu kubwa kama ilivyo Yanga na Azam, hivyo haina ubaya wowote kwa yeye kutamani kuchezea Simba.

"Siyo kwamba sitamani kucheza Simba, Simba ni timu kama Yanga au Azam, ni timu kubwa zaidi na timu nzuri pia, naitamani Simba lakini kwa sasa watu watambue nina mkataba na Yanga na naichezea Yanga".

Aidha Msuva amewakaribisha viongozi wa Simba kufanya mazungumzo na Yanga kama watamuhitaji, na yeye yuko tayari kuhamia Simba endapo timu hizo zitakubaliana huku akiweka wazi kuwa aliyekuwa mshambuliaji wa Simba Mussa Hassan 'Mgosi' ndiye aliyemvutia yeye kuingia katika soka.

HABARI ZAIDI

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita