Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watanzania watoa hisia zao kuhusu Tuzo za EATV

Jumatatu , 12th Dec , 2016

Wapenzi, mashabiki na wadau wa burudani nchini wameelezea hisia zao kuhusu tukio kubwa la utoaji wa tuzo kubwa na za kwanza Afrika Mashariki, za EATV Awards, huku wengi wao wakionesha kukunwa na maandalizi ya tukio zima pamoja na kutoa ushauri

Maoni ya baadhi ya wadau

Watanzania hao wametoa hisia zao kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii kama inavyoonekana katika picha hapo juu, huku baadhi yao wakishauri kuwa wangependa kuona mwakani vipengele vinavyowaniwa vikiongezeka ili kunogesha zaidi mambo.

Baadhi yao wamesikitishwa kuona baadhi ya washindi wakikosekana siku ya tukio na badala kutuma wawakilishi jambo ambalo linapunguza utamu wa shughuli, lakini kiujumla wameonesha kukubali maandali ya ukumbi pomoja na mpangilio wa burudani ulivyo kuwa .

Sikiliza hapa maoni ya baadhi ya wapenzi wa burudani walioingia kwenye tukio.

 

HABARI ZAIDI

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi