
Picha ya msanii Harmonize
Kwenye maelezo hayo Harmonize anatumia lugha ya Kiswahili na Kiingereza, lakini kuna baadhi ya maneno ya kiingereza yamekuwa yakijirudia kuchapia akiandika kwenye Insta Story yake.
Haya ni baadhi ya maneno aliyochapia kupitia maelezo yake ni 'Don't gev up on me' badala ya 'Don't give up on me' pia 'Im sorry i known how i didi you wrong' badala ya 'Im sorry i know i did you wrong'.
Maneno mengine aliyochapia ni parson akimaanisha 'Person' reson badala ya reason na miss understand ikiwa ni misunderstand.