Jumanne , 12th Oct , 2021

Rapper Tyga amefunguliwa mashtaka kwa kumpiga mpenzi wake wa zamani Camaryn Swanson usiku wa kuamka Jumatatu.

Picha ya Msanii Tyga

Taarifa zinaeleza kuwa Killa Cam alikuwa amelewa, lakini Tyga alimruhusu aingie ndani kwa ajili ya kuzungumza na baada ya muda zilisikika kelele za mpenzi wake huyo ambaye ameiambia polisi kuwa T-Raww alikuwa akimshushia kipigo wakati wa majibizano yao ambapo leo atafika kituoni kutoa maelezo kwa upande wake ikiwa tayari amefunguliwa kesi ya unyanyasaji wa nyumbani.