Jumanne , 30th Nov , 2021

Mchumba wa msanii Whozu Cappuccino Tunda amevunja ahadi yake ya kutaka kujiua endapo asipoolewa mwaka huu kwa sababu kuna vitu vimemshawishi kwenye maisha ya u-single.

Picha ya Cappuccino Tunda

Kupitia Insta Story yake Cappuccino Tunda ameandika kwamba "Nilisema mwaka huu nisipoolewa najiua, kuna marekebisho ya kiufundi yamejitokeza nasogeza hadi mwakani mweiz kama huu".

"Kuna vitu vimeni-inspire kwenye maisha ya u-single nimeona niendelee kubaki single

Ikumbukwe Tunda tayari ameshavalishwa pete ya uchumba na Whozu na wamebahatika kupata mtoto mmoja wa kike.