
Picha ya msanii Phina
Zaidi mtazame hapa kwenye video Phina akizungumzia kuhusu kuvaa kigodoro.
Hitmaker wa ngoma ya upo nyonyo Phina Tz 'The Melanin Queen' amewajibu mashabiki wanaomshambulia mitandaoni wakidai msanii huyo anavaa kigodoro akisema hajawahi kufanya hivyo bali ni shepu yake original.
Picha ya msanii Phina
Zaidi mtazame hapa kwenye video Phina akizungumzia kuhusu kuvaa kigodoro.