Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nimejitahidi kuunganisha wanasiasa- Prof. Jay

Jumapili , 16th Jul , 2017

Mbunge wa Mikumi na rapa mkongwe nchini Tanzania, Mh. Joseph Haule maarufu kama Prof. Jay amefunguka kwa kudai harusi yake imekuwa yenye baraka kutoka kwa Mungu maana ameweza kuwakutanisha viongozi wa kisiasa kwa pamoja bila ya kujali itikadi zao.

Mbunge wa Mikumi na rapa mkongwe nchini Tanzania, Mh. Joseph Haule.

Haule amebainisha hayo kupitia kipindi cha 'Friday Night Live' kinachorushwa na EATV baada ya kuulizwa ni jambo ni gani hasa liliweza kumvutia katika harusi yake.

"Kikubwa kabisa ninachomshukuru Mungu mbele za haki kabisa ni kwamba nimejitahidi kuunganisha hata siasa zetu za Tanzania ambazo zipo kwa kuwaunganisha viongozi wetu, watu wa vyama vyote walikuwa pale, watu wa dini zote walikuwa pale, kile ni kitu kikubwa kiukweli", amesema Haule.

Pamoja na hayo, Haule amedai siku mbili kabla ya harusi yake, alikuwa ni mtu mwenye wasiwasi katika nafsi yake kwamba isije ikatokea akamkana mkewe mbele ya Padri wakati wa kufungishwa ndoa.

"Nilikuwa na hofu kubwa na presha ilikuwa inapanda na ndiyo maana hata wanangu wengine sijaongea nao kwa muda mrefu hata simu yenyewe nilikuwa ninaiyogopa. Nikawa nasema isije siku Padri ananiuliza pale nikasema simtaki kabisa huyu mtu au yeye akasema hapana, kuna vitu vingi tumeshaona huko vikitokea kwa watu waliyopita kwa hiyo kusikia kile kitu kimeenda vizuri ni kitu cha kumshukuru sana Mungu ila hofu ilikuwa kubwa sana", amesisitiza Haule.

                               Maharusi wakipewa mkono wa dua mara wakati wakikamilisha Ibada ya Ndoa.

Katika hatua nyingine, Haule amesema mwanaye Lisa ameamuahidi anaenda kufaulu mtihani wake wa kuhitimu darasa la saba kwa kuwa jambo ambalo alilokuwa analisubiri kuliona kwa muda mrefu limetimia kwa wazazi wake.

Mtazame hapa anavyofunguka zaidi.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita