Picha ya Tiwa Savage akiwa na mtoto wake
Tiwa anasema jambo hilo lilisababisha kukosa muunganiko mzuri kati yake na mtoto wake huyo kwa mwaka mmoja au miwili ya kwanza.
"Kiukweli sikuwa na muunganiko mzuri na mtoto wangu wakiume kwa mwaka mmoja au miwili, kila mara nilitaka mtoto wa kike kwanza nilivyoambiwa amekuja wakiume nilianza kulia". anasema Tiwa Savage
Msanii huyo alijifungua mtoto wake huyo Jamal Balogun mwaka 2015 alipokuwa kwenye ndoa na Tunji TeeBillz.







