Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nashukuru wananchi mmenilipa - Roma Mkatoliki

Alhamisi , 17th Aug , 2017

Rapa Roma Mkatoliki amefunguka na kudai hana deni analodaiwa na mashabiki zake mpaka sasa ila anachojua yeye kuwa ndiyo alikuwa anawadai na ameshalipwa baada ya wao kupiga kelele za 'free Roma' kipindi alipotoweka.

Rapa Roma Mkatoliki.

Roma amebainisha hayo siku za hivi karibuni baada ya watu wengi kudai msanii huyo anadeni la kulilipa kwa wananchi kwa kuwa hajazungumza jambo lolote lililomsababisha yeye mpaka kutekwa na watu wasiyojulikana.

"Mimi ndiyo naweza kusema niliwakopesha washkaji deni maana ndani ya miaka 10 nimeimba nyimbo za kiharakati, changamoto pamoja kero za jamii vyote nawaimbia watu bila ya kulipwa chochote. Leo limenikuta la kunitokea wananchi basi wameungana kutokana na ngoma zangu wamepaza sauti zao, ukiniambia mimi nina deni ni kama wao wamenilipa kwa sababu mimi niliwakopesha kupitia ngoma zangu", alisema Roma. 

Pamoja na hayo, Roma amesema hadhani kama chochote atakachokieleza kwa umma wataweza kuridhika kutokana na tukio lake jinsi lilivyokuwa.

"Sidhani kama kuna majibu sahihi ukamwambia mtu akaridhika kuhusiana uhalisia wa tukio lililonitokea mimi, sina cha kufanya zaidi kusema asante kwa kupaza sauti zenu mpaka kupatikana kwangu, maisha yaendelee, nipo poa, nipo strong, niombeeni tuendelee", alisisitiza Roma.

Video mpya ya Roma Mkatoliki 'Zimbabwe' aliyoiachia Agosti 10 mpaka sasa imeweza kuendelea kushikilia nafasi ya kwanza kuwa 'trending' za video katika mtandao wa Youtube.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa