Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwakani lazima nishiriki EATV Awards - Dully

Jumamosi , 10th Dec , 2016

Mkongwe katika anga za bongo fleva, Dully Sykes amekutana na maajabu katika usiku wa Tuzo za EATV na kutangaza rasmi kuwa mwakani na yeye lazima ashiriki kwa kuwa atakuwa na vigezo vyote vinavyohitajika.

Dully Skykes muda mfupi baada ya kuwasili

Dully ambaye ni mkali wa ngoma ambayo inasumbua kila kona ya Afrika Mshariki, inayokwenda kwa jina la Inde, amefunguka hayo baada ya kuwasili na kushangazwa na maandalizi aliyoyakuta katika usiku wa tuzo, uliofanyika Mlimani City Dar es Salaam.

Dully amepongeza EATV kwa kuanzisha tuzo hizo, na kukiri kuwa siku ya leo amekutana na mambo ambayo hajawahi kuyaona yakifanyika nchini Tanzania tangu aingie kwenye muziki.

Akielezea wimbo wake wa Inde kutoshiriki mwaka huu, Dully amesema mwaka huu wimbo huo haukuwa na vigezo kwa kuwa ulikuwa umetolewa nje ya muda wa tuzo, lakini mwakani utakuwa na sifa zote, na anaamini ataondoka na tuzo.

HABARI ZAIDI

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi