
Msanii Linex
Linex amesema ukisema ukweli kuhusu muziki utaonekana unachuki ila binafsi yake haoni kitu kwenye muziki.
"Mziki wetu wa Tanzania ukiuzungumzia kwa sasa 100% utaonekana 'hater but for real i feel nothing, i dont feel music daah' Mungu awape uamsho waimbaji wote wazuri Tanzania is going down".