Picha ya Mwanahawa Zuberi akiwa na mtoto aliyemuokota
Akieleza tukio hilo la kumuokota mtoto huyo kupitia EATV & EA Radio Digital anasema yupo tayari kumlea mtoto huyo endapo wazazi wake hawatajitokeza.
Zaidi tazama hapa kwenye video akizungumzia hilo.