Msanii Malaika na mbwa wa aina ya Puppy
Sasa msanii wa muziki Malaika amenyoosha maelezo kuhusu matumizi ya mbwa hao ambaye hata yeye anaishi nae nyumbani kwake Kigambono Dar es Salaam.
"Kigamboni ninao majirani sipati Upweke nyumbani kwa sababu kuna wageni wanakuja, matumizi ya vile vi-puppy (Mbwa) huwa vinakupa company, unamtoa nje na yeye ku-enjoy" amesema Malaika
Staa wa filamu Wema Sepetu aliwahi kuweka dau la Tsh Milioni 1 mpaka 2 kwa mbwa wake wa aina hiyo aitwaye Manunu alivyopotea, hata Aliyekuwa Rais wa Marekani awamu ya 44 Barack Obama naye anaomboleza kifo cha mbwa wake aitwaye Bo ambaye amekufa kwa Ugonjwa wa Kansa.