Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Linah adai akibeba mimba tena atafanya hili

Jumanne , 19th Sep , 2017

Msanii wa bongo fleva na mama wa mtoto mmoja Linah Sanga ameibuka na kusema akibeba mimba nyingine hataacha kupiga picha zake tata kama  alizozipiga kipindi akiwa na mimba yake ya kwanza kwa kuwa yeyeni mtu maarufu.

Akiongea kupitia eNewz Linah amesema hajutii kwa picha alizozipiga katika kipindi  cha ujauzito wake wakwanza kwa kuwa yeye ni mtu maarufu  na aliamua kufanya kitu ambacho roho yake ilijisikia kufanya kwa kipindi kile na kuongeza kwamba  hata siku akibeba mimba nyingine anaweza kufanya kitu kama hicho kwa kuwa hakikumuharibia chochote katika maisha yake.

Hata hivyo  Lina aliendelea kusema kwamba "Binadamu ni watu wa ajabu sana na hata ufanye nini huwezi kuwaridhisha kwa kuwa kila mtu anatamani ufanye kile anachokitaka yeye nikivaa gauni refu watasema mimi nimshamba na hata nimevaa hizo nguo fupi bado wanasema hazina maadili hivyo mi nafanya ninachojisikia na waacha waendelee na malumbano yao"alifunguka mbele ya kamera za eNewz

Mbali na hayo Linah amefafanua pia suala la watu kumuona yeye kama amechelewa kujifungua ni kutokana na kwamba watu wengi  waliwahi kufahamu hali yake mapema tangu ikiwa na miezi mitatu hivyo walikuwa kama wanamuhesabia na ilipopitiliza wiki ndipo walipoanza kuhoji.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa