Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kimeumana, Nay na Baby mama wake wapeana makavu

Jumatatu , 10th Mei , 2021

Ni headlines za msanii Nay wa Mitego na mama wa mtoto wake Skyner Huniz ambapo siku ya leo wametupiana vijembe kupitia mtandao wa Instagram.

Nay wa Mitego na Baby Mama wake Skyner Huniz

Vijembe hivyo vimeanza baada ya Nay wa Mitego kumjibu shabiki kwamba hawezi ku-deal na mwanamke ambaye kilaza na mvuta bangi akiwa anamaanisha ni mama wa mtoto wake Skyner Huniz.

Baada ya muda mama wa mtoto wake huyo aliweka ujumbe ambao unaeleza kwamba Nay wa Mitego alipe ada ya mtoto kwanza la sivyo ataongea mambo mengine ya kumdhalilisha.

"Nimekuwa mvuta bangi leo hii daah, Mwanaume mwenye akili timamu hakimbii majukumu kwa mwanae wa damu, kwanini ada ya mtoto izue balaa lipa ada kabla sijachukua sheria, nikiamua kufungua huu mdomo utadhalilika, mimi ni kobe nimeinama nikinyanyua kichwa nikianza mwendo tusilaumiane" ujumbe wa Skyner Huniz 

Maneno hayakuishia hapo kwani Nay wa Mitego akajibu kupitia Insta Story yake kwa kuandika "Mwanamke anayejitambua hawezi kuweka matatizo ya kifamilia kwenye mitandao, unayenilalamikia nilipe ada umeni-block sasa napataje ujumbe wako, ina maanisha watu wa Instagram ndio walipe ada ya mwano, ushauri wangu nenda Mahakamani achana na mitandao" 

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita