Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kanye aendelea kuteseka na Urais

Alhamisi , 13th Mei , 2021

Rapper Kanye West ameendelea kukumbwa na jinamizi la kesi, kisa Urais aliokuwa akiutaka mwaka 2020, inaelezwa kuwa kampuni ya SeedX Inc imemfungulia kesi Mahakani kwa kukiuka mkataba wa kazi walioingia mwezi wa 7.

Msanii Kanye West

Kwa mujibu wa taarifa za Mahakama zilizodakwa zinaeleza kuwa kampuni ya SeedX walifanya kazi kwa kipindi cha miezi 3 ya kuandaa taarifa, kuandaa mipango mkakati ya kampeni, kubuni na kuandaa matangazo, kujenga mahusiano na vyombo vya habari na kadhalika pasipo malipo yoyote.

Kampuni ya Lincoln Strategy Group ndio walifanya makubaliano na kampuni ya SeedX Inc kwa niaba ya Kanye mwezi Julai, 2020 ambapo thamani ya shughuli zote za kampeni ilikuwa dola milioni 10 na mpaka sasa dola  milioni 1.5 pekee ndizo zimelipwa.

Kanye West Julai 4, 2020 alitangaza nia ya kuwania nafasi ya urais wa Marekani kupitia chama chake binafsi “Birthday Party” na katika uchaguzi huo alipata kura zaidi ya 60,000 kwenye majimbo 12, bado ameonesha nia ya kugombea tena kwenye uchaguzi ujao wa mwaka 2024.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya