Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kala kuingia kwenye siasa

Jumatano , 11th Oct , 2017

Msanii Kala Jeremiah ambaye amekuwa kifanya muziki wenye kuhamasisha sana jamii, amesema iwapo ataingia kwenye siasa ataingia kwa lengo la kuwa Rais wa nchi, na sio nafasi nyingine.

Kala ametoa kuli hiyo leo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha 5SELEKT kinachorushwa na East Africa Television, na kusema kwamba nafasi ya hiyo ya urais ambayo ndiyo nyadhifa kubwa serikalini, ndiyo anayoikusudia kwenye maisha yake, kwani kama ni ubunge ameshafanya sana kazi za ubunge.

“Wengi wananishauri niingie kwenye siasa, unajua kauli ya wengi ni kauli ya Mungu, kama nitaamua kuingia kwenye siasa nafasi ya urais ndo itanifaa zaidi kwa sababu ubunge nishafanya, nilipotoa wimbo na dada yangu Nakaaya wengi walikuwa wananiita mbunge, hivyo siwezi kuingia kwenye siasa kwa kutamani kuwa mbunge, nitatamani kuwa Rais”, amesema Kala.

Mara ya mwisho Kala alitoa wimbo unaoitwa 'wana ndoto' na kumpatia mafanikio makubwa kwa kupewa tuzo maalum, na hivi sasa ameachia wimbo wake mpya unaoitwa 'Kijana'.

Utazame hapa chini 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi