
Alikiba akiwa mkoani Morogoro
Alikiba alifika katika Stendi kuu ya Msamvu mkoani Morogoro ambapo baadhi ya mashabiki walisikika wakitoa sauti wakimuomba msanii huyo kufanya onesho la #AlikibaUnforgettableTour.
Mara baada ya kushuka kwenye eneo la Msamvu Alikiba aliwaimbia wimbo wa mshumaa mashabiki hao.
#PICHA Wananchi wa Morogoro walivyompokea @OfficialAliKiba alipopita kuwasalimia akiwa na Team ya EATV na wasanii wa Kings Music pamoja na Tundaman, safarini kuelekea Iringa kwenye #AlikibaUnforgettableTour Jumamosi uwanja wa Samora Iringa. Kingilio ni Sh. elfu 10 tu. pic.twitter.com/4HlQOxicjB
— East Africa TV (@eastafricatv) December 19, 2019
Alikiba akiwa Morogogoro Msamvu akiwa njiani kuelekea Iringa kwenye Tamasha la #AlikibaUnforgettableTour