
Picha ya Jacksong, Diamond na Alikiba
Nyimbo hizo alizoiimba ni lala salama ya Diamond, mapenzi yana run-dunia na hadithi ya Alikiba.
Zaidi tazama hapa kwenye video akionesha ufundi wa kuimba nyimbo hizo.
Anaitwa Jacksong ni kichwa kipya kwenye game ya BongoFlava, ametumia dakika 4 na sekunde 6 kuchanganya nyimbo ya Diamond Platnumz na Alikiba akiimba live na gitaa.
Picha ya Jacksong, Diamond na Alikiba
Nyimbo hizo alizoiimba ni lala salama ya Diamond, mapenzi yana run-dunia na hadithi ya Alikiba.
Zaidi tazama hapa kwenye video akionesha ufundi wa kuimba nyimbo hizo.