Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Enock Bella avunja ukimya

Jumatano , 13th Sep , 2017

Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye alikuwa katika kundi la Yamoto Band, Enock Bella, ameamua kuwajibu wanaomdharau kuwa hajui kuimba kwa kuwa yuko kimya kuliko wenzake wote wa Yamoto Band, kwa kuachia kazi yake mpya hivi karibuni.

Enock Bella

Akizungumza na mwandishi wa East Africa Radio, Enock Bella amesema si kama hajui kuimba, bali uongozi ulikuwa na wasi wasi naye, lakini pia imekuwa na faida kwake kwani alitumia muda huo kutafuta 'conection' na wasanii wa nje ya Tanzania, na kuwataka mashabiki kukaa tayari kwa kolabo zake na wasanii hao.

"Kukaa kimya kote kuna mipango, ukimya wangu mimi ulikuwa unatengeneza mipango, ukimya ule pia umesababisha conenction na nje, nimefanya collabo za nje, pia uongozi ulikuwa tatizo kwa sababu ilikuwa ni ngumu mtu kuweza kumchukua Enock Bella kufanya nye kazi kwa sababu kwenye Yamoto nilikuwa naimba vipande vidogo vidogo, kwa hiyo mtu lazima upate mashaka, lakini sasa hivi uongozi uko sawa na natarajia kuachia kazi yangu mwezi huu wa 9", alisema Enock Bella.

Enock Bella ni miongoni mwa wasanii waliokuwa Yamoto Band, lakini hajaachia kazi yoyote mpaka sasa, huku wenzake wawili Beka Flevour na Aslay  wakiwa na kazi sokoni.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita