Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dj Bonny Love apewa tuzo maalum ya heshima

Jumapili , 11th Dec , 2016

Dj maarufu wa nchini Tanzania, Boniventure Kilosa au Dj Bonny Love, ametunukiwa tuzo ya heshima kwenye #EATVAwards , kama mtu mwenye mchango mkubwa kwenye tasnia ya muziki nchini.

Dj huyo ambaye alilelewa kwenye maisha yenye maadili ya dini huku mama yake akiwa ni mwana kwaya kanisani, alijitahidi kupigania muziki wa bongo fleva wakati unaanza nchini Tanzania, kwa kuwashika mkono wasanii mbali mbali, mpaka kufikia hatua ya kuwa wasanii wakubwa na kuitangaza bongo fleva.

Dj Bony Love ambaye kwa sasa na umri wa miaka 46 , ametumia zaidi ya miaka 31 katika maisha yake katika tasnia ya muziki ikiwemo u-Dj na uandaaji wa muziki (producer), tangu bongo fleva inazaliwa na kuweza kusimama.

Dj Bonny Love alitumia muda, akili na nguvu zake katika kuinua sanaa ya Tanzania, kwa kutafuta wasanii na kuwapa fursa ya kurekodi bure, huku wasanii wengi wakubwa kwenye game ya bongo fleva wamepitia mikononi mwake, wakiwemo Juma Nature ambaye ndiye msanii anayesimama kama icon ya muziki wa bongo fleva, King Crazy Gk, mwana FA, Ay na wengineo.

Pia Dj Bonny love ni kaka wa maDj wakubwa wawili hapa bongo, wakiwemo Dj Venture na Dj Mackay. Tazama historia yake hapa chini

 

HABARI ZAIDI

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi