Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bob Maneck aja na mapinduzi katika muziki

Ijumaa , 24th Mar , 2017

Mtayarishaji wa muziki Bob Maneck kutoka AM Records amesema anategemea kuachia kitabu chake kinachoelekeza na kufundisha masuala ya muziki hivi karibuni baada ya jambo hilo kushindikana mwaka 2016.

Mtayarishaji wa muziki Bob Maneck akiwa studio

Maneck amesema tatizo lilipolekea kushindwa kukitoa kitabu hicho ni kutokana na kutafuta waandishi waliobobea katika fani hiyo ili waweze kukiandika vizuri ili mradi kisiweze kumchosha msomaji mwenye nia ya kutaka kujifunza.

"Kwa jinsi nilivyopanga mimi na namna walivyoniambia wao sikutaka kitabu changu kiwe kirefu mpaka kimchoshe msomaji lakini jisni walivyoniambia kwamba kitabu kina kanuni zake, kuna vitu lazima vitimie ili kipitishwe na watu fulani ndiyo kikamilike kabisa" Alisema Maneck

Aidha 'Producer' huyo amesema wapo katika hatua za mwisho na mpaka kufikia mwezi wa sita kitakuwa kipo mtaani rasmi huku akifafanua maudhui ya kitabu hicho kuwa kitakuwa kimeegemea zaidi kwenye ujuzi wa 'production' ya muziki kwa sababu wengi wamekuwa wakifanya kazi hizo kama kipaji na siyo kusomea.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil