Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Beyonce azidi kusakamwa na wana Afrika Mashariki

Ijumaa , 19th Jul , 2019

Mwanamuziki maarufu nchini Marekani, Beyonce ameendelea kusakamwa na raia wa Afrika Mashariki kutokana na kitendo cha kutumia misamiati ya lugha ya Kiswahili katika filamu yake ya 'The Lion King' bila kutoa shukrani au thamani kutoka kwenye asili ya maneno hayo.

Beyonce na Salim Kikeke

Mtangazji na mwanahabari maarufu kutoka kituo cha BBC Swahili, Salim Kikeke amemtumia ujumbe staa huyo wa RnB na Pop duniani akisema kuwa hajaridhishwa na kitendo chake cha kutowashukuru Watanzania na wana Afrika Mashariki kwa kutumia baadhi ya maneno katika Kiswahili.

Kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram, Kikeke ameandika, “mpendwa Beyonce, Mimi ni mpenzi mkubwa wa kazi zako, Nimeona wasanii uliowachagua kwenye Album yako mpya ya The Gift, Nimefadhaika kutoona hata msanii mmoja kutoka Africa Mashariki hasa Tanzania, Filamu yako ya The Lion King imesetiwa na fahari ya bara la Africa kama Serengeti ambayo ipo Tanzania, neno la hakuna matata na Simba ni maneno ya Kiswahili ambayo yanatumika Tanzania na Africa Mashariki.”

"Kuna baadhi ya maneno ya Kiswahili ametumia kwenye wimbo wake wa Spirit, na hawezi kupata maana halisi Kiswahili kwa kuweka wasanii ambao wanatokea Afrika Magharibi peke yake, haijalishi wana uzuri kiasi gani, hata Tanzania na Afrika Mashariki kuna wasanii wenye vipaji ambao wangekuwepo kwenye hiyo kazi yako mpya”, ameandika Salim Kikeke.

Mapema wiki hii msanii Beyonce alizindua filamu yake ya The Lion King, Pia akataja wasanii wa bara la Africa ambao watakuwepo kwenye Album yake mpya ya 'The Gift'. na wasanii hao wote wanatokea katika nchi za Afrika Magharibi.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita