
Picha ya Pierre-Emerick Aubameyang kushoto, kulia Alexandre Lacazette
Kocha Ronald Koeman ana haha kutafuta mbadala wa kuziba nafasi ya Lionel Messi na amekiri kwamba angependa kuleta mshambuliaji mpya lakini wataweza kutimiza lengo hilo endapo tu watamuuza Martin Braithwaite kwa ada kubwa ya uahamisho.