Jumanne , 10th Oct , 2023

Ni mtu tatu ndani ya Track moja hapa mzee wa Commercial AY, pale mfalme wa BongoFleva Alikiba na mwamba wa kaskazini Joh Makini.

Picha ya AY, Alikiba na Joh Makini wakiwa studio

Tegemea kusikia Collabo kutoka kwa wakali hao baada ya kushea picha na video zao wakiwa Studio wanarekodi mkwaju wao huo mpya.

"Usiku wa jana jikoni na wabobezi @aytanzania x @officialalikiba x Me produced by @tazgoemi who's ready" ameandika Joh Makini kupitia page yake ya Instagram.