
Picha ya msanii Alikiba na mtoto wake Keyaan
Alikiba ameshea ujumbe huo kwenye page yake ya Instagram kwa kuandika "Halizuki jambo bila Mwenyezi Mungu kutaka yote Kheri, Happy birthday son nakupenda usinisahau".
Alikiba na Amina walifunga ndoa mwaka 2018, lakini wamekuwa hawaishi pamoja kwa muda mrefu.