
Msanii Maua Sama
Kupitia kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa instagram nyota huyo ameandika “comment jina nzuri la album” ikiwa ni kiashiria tosha kuwa huwenda tayari album inaweza kuwa imekamilika kwa asilimia kubwa.
Endapo atafanikiwa kuachia album , basi itakuwa ni ya kwanza tangu alipoingia rasmi kwenye kiwanda cha muziki wa Bongo Fleva alichodumu kwa kipindi kisichopungua miaka 6.