Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara wa sukari wakalia kuti kavu

Jumatano , 16th Mei , 2018

Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Fabian Dakaro, amesema Serikali haitasita kuwachukulia hatua wafanyabiashara watakaouza sukari kwa bei ya shilingi 2600 kwa kilo au shilingi 3000 kwani watakua wanahujumu wananchi.

Akizungumza na waandishi wa Habari Jijini Arusha, Dakaro amesema wamepokea malalamiko kutoka kwa wananchi kuhusu kupanda kwa bei ya sukari pamoja na kubaini tatizo hilo wakati wa kufanya msako na mahala kwa wafanyabiashara wa bidhaa hiyo.

Aidha Mkuu huyo wa Wilaya amesema kuwa Sukari iliyo katika vifungashio bei yake pia isizidi 2600 kwa kilo huku akisema kuwa usimamizi wa bei ya sukari mkoani humo ni endelevu na unapaswa kufanyika kwa kushirikiana na viongozi wa kata na vyombo vya dola.

"Nimeagiza Watendaji wa Kata wakasaidane na watendaji wa mitaa . Hili zoezi ni endelevu. Tutaendelea pia kufanya ukaguzi kwenye  maghala. Sukari za kwenye vifungashio tutaweka bei ambayo hatazi hata 2800 kwa hapa mjini," Daqqaro

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya