Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Zanzibar ina historia kubwa"- Dk.Shein

Jumatatu , 21st Sep , 2020

Rais wa Serikali ya Zanzibar Dk.  Ali Mohamed Shein ameweka wazi makusuidio ya serikali ya Zanzibar kuifanya Mbweni kuwa mji wa kisasa huku akisema visiwa hivyo vina historia kubwa.

Rais wa Zanzibar Dkt Ali Shein

Amesema hayo leo Septemba, 21, wakakti akihutubia wananchi na watumishi wa umma waliohudhuria ufunguzi wa nyumba za makazi mradi wa makazi Mbweni ulioandaliwana Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar(ZSSF) ambapo yeye alikuwa mgeni rasmi.

"Treni ilianza Zanzibar kabla ya Tanganyika wakati huo, kabla ya kenya kabla ya Uganda, Zanzibar ina historia kubwa na historia yake ya treni ni Mbweni tunadhamiria kuufanya Mbweni kuwa mji wa kisasa na ndio jitihada zetu hizi" amesema Dk.Shein.

Aidha Dk. Shein amefafanua  kuwa mradi huo wa nyumba za makazi ni jitihada za serikali ya Zanzibar katika kuimarisha sekta ya makazi.

"Nyumba hizi za makazi za hapa mbweni ambazo sie tunaziona wengine mara ya kwanza au wengine mara nyingi ni jitihada za serikali yetu ya mapinduzi ya Zanzibar za kuimarisha sekta ya makazi ila wananchi wapate mahali pazuri pakuishi" amesema Dk. shein

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil