Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri atoa miezi 3 kwa watendaji maji yatoke

Jumatatu , 13th Sep , 2021

Waziri wa Maji Jumaa Aweso, ametoa muda wa miezi mitatu kwa watalaam wa maji kutoka wizarani na wahandisi wa maji wilayani Karagwe mkoani Kagera kuhakikisha miradi yote ambayo imekamilika lakini haitoi maji, inakamilika ndani ya kipindi hicho na kuanza kutoa huduma kwa wananchi.

Waziri wa Maji Jumaa Aweso

Akizungumza baada ya kutembelea chanzo cha maji cha Omururongo kilichoko wilayani humo, Waziri Aweso, amesema kuwa timu ya wataalamu kutoka wizarani inapaswa kuwasili Jumatatu ya leo katika wilaya ya Karagwe, na kuanza kushughulikia tatizo hilo.

Wakizungumza katika mkutano wa hadhara mbele ya Waziri huyo, baadhi ya wakazi wa miji ya Kayanga na Omurushaka, iliyoko wilayani humo wamesema kuwa wanakabiliwa na tatizo la uhaba wa maji, hali inayosababisha kununua ndoo moja ya maji yenye ujazo wa lita 20 kwa kati ya shilingi 500 hadi 1,000 kutoka katika visima vya watu binafsi.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe