Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wauguzi Dar wadai kulipwa stahiki zao

Jumatano , 2nd Sep , 2020

Baadhi waliokuwa wafanyakazi wa Hospitali ya Tumaini iliyokuwa Upanga Jijini Dar es Salaam wameiomba serikali kuingilia kati hatima yao kufuatia kudai kuondolewa kazini bila ya kulipwa stahiki zao za msingi.

EATV  imekutana na kundi hilo la waliodai kuwa wafanyakazi wa ngazi ya uuguzi wakiwa katika maandamano ya pamoja wakitafuta taasisi inayoweza kuwapa msaada wa kisheria kwa kuwa hawana uwezo wa kufanya hivyo.

Awali wakielezea sakata zima wamesema yalikuwepo madai ya Hospitali kushindwa kujiendesha ndipo akapewa jukumu Erick Mramba kama mfilisi ili kusimamia uuzwaji wa mali zote na ulipwaji wa madeni pamoja na stahiki za watumishi ikiwemo mishahara na kuinua mgongo lakini malipo yao hao yamekuwa na msuguano na kukwama.

Kutokana na madai hayo yaliyoekekezwa kwa Mfilisi Erick Mramba EATV ikamtafuta kutoa maelezo yake kuhusiana na mchakato huo alivyoumsimamia pamoja na kutaka kujua ukweli kuhusiana na madai hayo ya wafanyakazi.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil