Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wasiooa hufa zaidi kwa magonjwa ya moyo

Alhamisi , 2nd Jun , 2022

Utafiti umeeleza kwamba watu ambao hawajaoa ama kuolewa wapo kwenye hatari zaidi ya kufariki dunia kwa magonjwa ya moyo, na kwamba hata ule uwezo wao katika kujisimamia huwa ni mdogo ukilinganisha na watu waliooa ama kuolewa.

Mtu mwenye magonjwa ya moyo

Dk Fabian Kerwagen wa Hospitali ya Chuo Kikuu cha Wurzburg Ujerumani amesema kwamba watu waliooa ama kuolewa wanayonafasi kubwa ya kuishi kutokana na usaidizi wanaoupata kutoka kwa wenzi wao ikiwemo kukumbushwa suala la utumiaji wa dawa kwa wakati.

"Tumegundua kwamba wagonjwa ambao hawajaolewa ama kuoa wanashindwa kuhusiana na jamii ukilinganisha na waliooa ama kuolewa na pia wanakosa uthubutu wa namna ya kukabiliana na magonjwa hayo, bado tunachunguza," amesema Dkt. Kerwagen

Aidha Dkt. Kerwagen amewasisitiza wahudumu wa afya kuwauliza wagonjwa wenye matatizo ya moyo kuhusu hali zao za mahusiano na wahakikishe wanawahamasisha ili wawe na uwezo wa kujisimamia wenyewe.
 

HABARI ZAIDI

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi