
wembe na kisu
Hayo yamesemwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Dkt Dorothy Gwajima, wakati anafungua kongamano la kamisheni ya Umoja wa Afrika lenye lengo la kushinikiza kukomesha ukeketaji kwenye jamii.
Amesema kwa kushirikiana na viongozi wa kimila, kidini, viongozi wa serikali kuanzia ngazi ya jamii inaweza kuleta mabadiliko chanya.